WAZIRI KIJAJI AMPOKEA BRAYDON BENT.

Shabiki mashuhuri duniani wa klabu ya soka ya Manchester City ya Uingereza Braydon Bent atua Hifadhi ya Taifa ya Serengeti na kuanza ziara ya ‘ki-Royal Tour’ hifadhini humo leo tarehe 28. Januari, 2026.
Funga Mwaka Kijanja…..Talii

Funga Mwaka Kijanja…..Talii
SERENGETI AWARDS 2025

Visit www.serengetiawards.go.tz and register your Nomination